[base16] # _

Recent Posts

Insecure And Embarrassed 13-Year-Old Has Coaches Fighting Over Him After This Performance [VIDEO]

published on
TALENTRECAP.COM Singing The Voice Jill O'Rourke Jill O'Rourke Jill O’Rourke is a contributor at Talent Recap, writing news stories and recaps for shows like ‘AGT,’ ‘The Voice,’ and ‘American Idol.’ She graduated from the University of Georgia with a degree in English and Film Studies, and has been writing about pop culture since 2012, with previous bylines at Crushable and A Plus. Jill spends her free time binge-watching sitcoms and daydreaming about life as a hobbit → Recent Posts Read More...

Mabinti 10 wa marais wa Afrika ambao ni WAREMBO kweli (picha)

published on
Mara nyingi vyombo vya habari huangazia marais wa Afrika na wake zao, na kusahau viongozi hao pia wamejaliwa mabinti na wavulana. TUKO inakuletea mabinti 10 warembo wa marais wa Afrika. 10. Bona Mugabe (Zimbabwe) Bona Mugabe ndiye mtoto wa pili wa Rais Robert Mugabe na Grace Mugabe, ambao pia wamejaliwa wavulana wawili. Habari Nyingine: Hivi ndivyo mtangazaji LILIAN MULI huwa kitandani akiwa amelala! 9. Thuthukile Zuma (Afrika Kusini) Thuthukile Zuma ndiye binti mchanga zaidi kati ya wanne ambao Rais Jacob Zuma amezaa na mkewe wa zamani Nkosazana Dlamini-Zuma. Read More...

Millicent Omanga Amtaka Uhuru Kuridhika na Uamuzi wa Korti Dhidi ya BBI: "Usikate Rufaa"

published on
- Millicent Omanga alibaini uamuzi wa benchi la majaji watano utampa rais muda wa kutosha kuzingatia zaidi utawala wa Jubilee - Seneta huyo aliyeteuliwa alimtaka rais asikate rufaa dhidi ya uamuzi huo lakini badala yake azingatie ajenda yake ya maendeleo - Benchi la majaji watano lilitangaza Mchakato wa Salamu ya Maridhiano (BBI) kuwa kinyume cha katiba Seneta aliyeteuliwa na Jubilee Millicent Omanga amemtaka Rais Uhuru Kenyatta na wengine waliotakiwa kujibu katika ombi la kesi ya kupinga BBI kutokata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Juu. Read More...

Categories

Blog (1692)